Ungana na sisi

Nyumbani Ungana na sisi

Tufikie

Unaweza kutufikia kupitia njia hizi:

Call: +255 615 396 442

Barua pepe: Info@tehama.or.tz

Anuani: 10th Floor, Sabodo Parking Building 8758, India St, Dar es Salaam, Tanzania

Ungana na sisi

    Fanya kazi nasi

    Tunawaalika wataalamu wa ICT, mashirika ya kibinafsi na ya umma na NGOs zingine kuungana nasi na kutusaidia kufikia malengo yetu.

    Msaada wako unaweza kuwa katika maeneo tofauti kama vile:

    ★ Kutoa elimu ya TEHAMA kwa wanafunzi na watu wasiojiweza.
    ★ Kusaidia kutoa usaidizi katika uanzishaju wa maabara za kompyuta sehemu mbalimbali hapa nchini.
    ★ Kutoa semina kwa raia kuhusu umuhimu na mustakabali unaotegemea Teknolojia
    dependent on Technology
    ★ Msaada wa kompyuta na vifaa vya kidijitali.

    swSW